Hamisa Ashauriwa Kuacha Kutumia Familia ya Diamond Kupata Kiki


Moja ya watu wa karibu wa familia ya Diamond platinumz amefunguka na kusema kuwa kwa sasa familia ya diamond imeshagundua kuwa Hamisa amekuwa akitumia jina la familia hiyo kwa ajili ya kujipatia kiki yake na muziki wake hivyo na wao kwa sasa wameamua kukaa kimya bila kumzungumzia mwanadada huyo.

Akiongea na moja ya waandishi wa kurasa za Udaku, mwanafamilia huyo anasema kuwa kwa sasa familia hiyo imegundua kuwa muziki wake hauendi kama asipowata au wao kumtaja mwanadada huyo na ndio  maana hata familia hiyo akiwepo esma, mama dangote na hata zari mwenyewe hawataki kumpa kiki tena.

Akimalizia kwa kuongea hayo anasema kuwa anchomshauri hamisa kwa sasa ni kufanya kazi kwa nguvu zote kwa sababu kama jina ameshalipata kutumia jina la diamond na anatakiwa kuakza buti.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad