Mbelgiji Simba Afunguka Siri ya Kuisambaratisha Mbabane Swallows

Mbelgiji Simba Afunguka Siri ya Kuisambaratisha Mbabane Swallows
Kikosi cha Simba kimefanikiwa kuanza vizuri jana katika mchezo wa fainali za Mabingwa ya Afrika uliochezwa Uwanja wa Taifa kwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mbabane Swallows FC ya Swaziland.

Mabao ya Simba yalifungwa na John Bocco dakika ya 7 akimalizia pasi ya Nicolus Gyan kisha akafunga bao la pili dakika ya 32 kwa mkwaju wa penati baada ya Emmanuel Okwi kuchezewa rafu na mlinda mlango wa Mbabane.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad