Mchepuko Umeninyoa ikulu, Umenipiga Picha na Kumtumia Mke Wangu

Wiki iliyopita ilikuwa mbaya sana kwangu, nina mchepuko mpya niliempata kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzangu. Ni mazuri sana kwa sura na shepu.Tulikubaliana Jumamosi ndio tukapige mechi ya mchangani. Jumamosi niliona ni siku nzuri kwa kuwa wife angekuwa kazini night shift.

Nikakutana na mchepuko muda wa saa sita mchana kwa ajili ya lunch na bia kidogo.Tukala na kunywa hadi muda wa saa moja usiku ndipo tukachukua chumba kwa hali ya ulevi na hamu ya kitu kipya nikapiga non stop mabao mawili ndipo nikalala kama mfu, bila kujua mchepuko ulininyoa nywele za ikulu kisha ukanipiga picha kwa simu yake.

Akachukua simu yangu na kuisaka namba ya mke wangu, kisha akaisevu kwake na kumtumia pia aliyonipiga kwa simu yake. Ujumbe ulitumwa kwa Whatsapp ukiwa na picha yangu nikiwa uchi kitandani na nimenyolewa nywele za chini. Ujumbe wa maneno ulikuwa unasomeka kuanzia sasa ujue huyu ni wetu wote tuheshimiane. Akiwa kwako ni wako akiwa kwangu ni wangu tusiumbuane
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad