Mjadala: Mbwana Samatta Ndio Mchezaji Bora wa Muda wote Tanzania

Katika soka la Tanzania vimepita vizazi mbalimbali Kama kina lodgar Tenga, Sunday Manara, King kibaden, Mwamedi Mwameja, Edbily Lunyamila na hivi karibuni Juma Kaseja.
Lakini kwangu Mimi japo vizazi vingi sijaviona hapo killingana na mafanikio yao niseme wazi kwangu Mbwana Samatta ndio mchezaji wangu Bora wa muda wote Tanzania
Kwanini? Hizi hapa ni sababu zangu

Napima kwa mafanikio
--Mbwana Samatta ndio mchezaji wa Kwanza kushinda Africa champions league akiwa na TP Mazembe
--Samatta ndio mchezaji pekee wa Tanzania kuwa mfungaji Bora wa Africa champions league mwaka 2015
--Samatta ndio mchezaji pekee wa Tanzania kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Africa(wanaocheza ligi ya ndani) mwaka 2015
--Samatta ndio mchezaji pekee ya Tanzania kuchezaji Ueropa league na anabahatika kufika hadi hatua ya Robo fainali
Changamoto kubwa inayomkabili Samatta ni kupata mafanikio na Taifa stars Kama Messi anavyoangaika na Argentina

Mjadala uko wazi Kila mtu anamtazamo wake ila jitaidi ukija kuchangia njoo na Facts sio porojo za vijiwezi

Toa facts kwanini flani ni Bora

By Brave One
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad