Muigizaji Lulu Michael Abakiza Siku Mbili Kumaliza Kifungo


Muigizaji wa filamu nchini Tanzania Elizabeth Michael amebakiza siku 2 kuweza kuwa huru baada ya kutumikia kifungo chake cha miaka 2.

Lulu alihukumiwa kifungo hicho mnamo mwaka 2017 baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia Muigizaji mwenzie Marehemu Steven Charles Kanumba.

Tarehe 14 mwezi May Lulu alibadilishwa adhabu na kutumikia kifungo cha nje.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad