Otile Brown Ajiachia na Mrembo Mpya Baada Ya Kukashifiwa na Vera Sidika

Otile Brown Ajiachia na Mrembo Mpya Baada Ya Kukashifiwa na Vera Sidika
Msanii wa muziki kutoka Kenya Otile Brown ameamua kumuanika mrembo mpya kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache Baada ya sakata lake na Ex Wake Socialite Vera Sidika.

Wiki iliyopita Vera aliweka screenshots za maongezi yake na Otile Brown ambapo ndani yake alimtuhumu kwa kutomrudhisha chumbani kwa madai kuwa alikuwa hamfikishi wanapokuwa sita kwa Sita.

Baada ya tuhuma hizo nzito Otile alijitetea na kusema Vera alikuwa anapenda sana ngono kiasi ya kwamba alikuwa anajichezea mwenyewe hata pale wanapokuwa wamelala wote ambapo Vera alisema anafanya hivyo kwa sababu hakuwa akimridhisha Kama mwanaume.

Lakini siku chache Baada ya sakata hilo na Vera Otile Brown ameonekana kuendelea na maisha yake ambapo ameweka video kwenye ukurasa wake wa Instagram unaomuonyesha akiwa na mrembo mwingine ambapo kwenye video wanaoenekana wakikumbatiana na kucheza kimahaba.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad