Rammy Galis Amtolea Povu Zito Duma

Rammy Galis Amtolea Povu Zito Duma
Muigizaji wa Bongo movie Rammy Galis amekuja juu msanii mwenzake Duma na kumtolea Povu zito siku chache Baada ya Duma kutumia nyimbo vya habari na kuweka wazi kuwa msanii huyo haiwezi Sanaa.

Rammy Galis amefunguka na kudai kuwa Duma ni zero brain na mpiga  kelele ambaye anatumia vyombo vya habari na wana habari kwa ajili ya kumzungumzi yeye.

Katika mahojiano aliyofanya na kipindi cha Enews cha EATV, Rammy Galis amefunguka haya:

Duma anapiga sana kelele kwenye media ilitakiwa kazi anazofanya haziendani na makelele yake anakuwa anaonekana Kama Zero brain na pia ni wazi Kama huwezi kutufananisha kwa sababu Mimi siendi kutafuta media ili nipige kelele nasubiria Media zinitafute niongee mambo ya maana”.

Siku chache zilizopita Duma alimtolea Povu zito Rammy Galis na kumchana kuwa hana kipaji cha kuwa kama Kanumba na hawezi kuwa kama Kanumba hata siku moja.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad