Rapper Mkubwa wa Marekani Rick Ross Ampost Msanii wa Tanzania Rosa Ree Kwenye Page yake ya Instagram


Rapper Mkubwa wa Marekani Rick Ross aka @richforever leo amempost Msanii @rosa_ree katika page yake ya instagram...ameweka picha kadhaa akiwa na chupa ya Belaire kwenye insta stories

Rosa Ree alikuwa ni msaniii wa kwanza kutoka Tanzania kuwa balozi wa Kinywaji cha Belaire na Baada ya mkataba wake kuisha akamrushia Diamond Platnumz kijiti ambae ndio balozi wa kipindi hichi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad