Shilole: Marufuku Msanii Yoyote Kumtumia Mume Wangu

Shilole: Marufuku Msanii Yoyote Kumtumia Mume Wangu
Msanii Shilole amesema hataki kuona yeyote yule anamtumia mume wake kwenye video yake.

Shilole amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye uzinduzi wa albamu ya Nandy.

"No, nilimwambia kabisa don't do that, unajua sometime wanamtafuta tu, kwa hiyo wanaweza kumchukua kwa nia nzuri lakini sitaki kabisa, bwana natangaza staki msanii yeyote kumtumia mume wangu," amesema.

Mume wa Shilole, Uchebe ametokea kwenye video ya wimbo wa msanii huyo inayokwenda kwa jina la Mchaka Mchaka.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad