Timu ya Taifa ya vijana Nayo Yaondolewa Katika Mashindano ya Kufuzu


Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 imeondolewa katika mashindano ya kufuzu Mataifa ya Afrika licha ya ushindi wa (3-1) dhidi ya Burundi, matokeo hayo yanaifanya Burundi isonge mbele kwa goli la ugenini na kuifanya ipate sare ya goli (3-3). Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 yatafanyika mwakani nchini Misri
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad