Amber Lulu alizwa Tena na Mapenzi Aporomosha Mvua ya Matusi Mitandaoni

Amber Lulu alizwa Tena na Mapenzi Aporomosha Mvua ya Matusi Mitandaoni
Mwanadada Amber Lulu ameonekana kuumizwa tena na maenzi ingawa  hajataka kuweka wazi kwanini kile alichkionyesha katika ukurasa wake wa instagram alikuwa akikimaanisha.

Katika ukurasa wake huo, mwanadada Amber Lulu aliweka  picha yenye kutukana kwa kiais kikubwa sana swala la mapenzi na kuonekana kama vile ni kitu ambacho kiemuumiza san

Katika ukurasa wake hata  baada ya kuweka picha hiyo mashabiki walianza kumuuliza kuhusu swala la kuyatukana mapenzi , na kwanini amekuwa akionekana kama mtu mwenye uchungu sana na swala hilo.

ikumbukwe kuwa  Amber Lulu alikuwa katika mahaba mazio sana na mwanaume wake prezzo kutoka kenya ambae alikuwa akimsifia kuwa ndie mwanaume mwenye kuma furaha muda wote tofauti na wale wa nyjma ambao walikuwa wakipa stress kila siku.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad