Aunt Ezekiel Adaiwa Kodi ya Pub Mwenyewe Afunguka Haya

Aunt Ezekiel Adaiwa Kodi ya Pub Mwenyewe Afunguka Haya
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel baada ya kudaiwa kukosa kodi ya kulipia pango la Pub yake iliyopo Kinondoni jijini Dar na kuifunga, mwenyewe amefungukia madai hayo na kueleza kilichotokea. 



Akizungumza na Risasi Jumamosi, Aunt alisema siyo kwamba amefunga Pub yake kwa sababu ya kudaiwa kodi bali eneo hilo anataka kufanya biashara nyingine na hiyo ya pub ataihamishia sehemu nyingine.



“Kwa nini nidaiwe kodi wakati nina biashara nyingine nafanya na zinaenda vizuri? Watu huongea vitu ambavyo hawavijui kabisa, nafanya marekebisho ili niweke biashara nyingine na hii nitaihamishia sehemu nyingine,” alisema Aunt.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad