Basi la Kampuni ya Prince Line Lapata Ajali Kibaigwa..Dodoma


Inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni Lori lililokuwa linakatiza barabarani, dereva wa basi alipojaribu kulikwepa ndipo ajali hiyo ikatokea
-
Basi hilo lilipoteza uelekeo na kutoka nje ya barabara na kwenda kugonga gema
-
Majeruhi kadhaa wa ajali hiyo wamekimbizwa hospitali kwa matibabu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad