Bila clouds Hakuna Star Angetoka ;-Kusaga

Bila clouds Hakuna Star Angetoka ;-Kusaga
Mkurugenzi na biso mwenzie wa Clouds media amefunguka na kusema kuwa pamoja na yote yanayoendelea katika mitandao ya kijamii kuhusu wasanii kujitapa kuhusu mafanikio yao lakini mwisho wa siku wanatakiwa kujua kuwa hakuna haa msanii mmoja ambae anaweza kusema kuwa ametoka bila jitihada za clouds medai.

Akiongea katika kipindi cha leo tena bosi wa Clouds media, akijibu maswala mbalimbali wakiwa wanasherekea miaka 19 ya clouds media, Joseph Kusaga anasema ‘ utake usitake, hakuna staa yeyote hata watukane , waseme nini  ila bila clouds wasingekuwa walipokuwa sasa ‘

Hii inatoka ana kusema kuwa wasanii wengi hapo nyua wamekuwa na kama tabia ya kujisisfu kwa mafanikio yao bila kuwa wazi ya kile walichwahi kusaidiwa na watu mbalimbali mpaka kufika walipofika.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad