Chid Benz ni Teja Hawezi Kupanda Kwenye Steji Ya Wasafi- Afande Sele



Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini Afande Sele amefunguka na kuweka wazi kuwa Msanii mwenzake Chid Benz hawezi kupandishwa Steji ya Wasafi Festival kwa sababu ni teja.

Wiki iliyopita Chid Benz ambaye amekuwa akitumia madawa ya kulevya kwa muda mrefu sasa alilalamika kitendo cha kutoalikwa Kupanda Steji ya Wasafi na Kuperfom na kudai kuna wasanii wasio na vipaji wanapendelewa.

Afande Sele ameibuka na kudai Chid Benz hawezi kupandishwa katika Steji ya Wasafi Festival kwani ni teja hivyo mtu Kama huyo ataleta

Niseme tu ukweli ni kwamba Chid Benz ni Teja na wakati mwingine kumpandisha teja jukwaani ni kunajisi jukwaa maana teja ni Kama shoga tu kwaiyo kumpandisha Chid kwenye jukwaa la heshima Kama Wasafi Festival ni kuikosea heshima jamii”.

Lakini pia kwenye mahojiano hayo Afande Sele alifunguka kupotea kimuziki kwa 20 Percent ambapo alihusisha na Clouds kuwabania wasanii hivyo wengi wao kuishia kupata stress na kupotea kimuziki.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad