Dkt. Kikwete Amfungukia Mambo Mazito Diamond Platnumz


Msanii wa Muziki Diamond Platnumz aeleza walichozungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Mrisho Kikwete nyumbani kwake.

Diamond amesema kuwa alimuuliza kuwa ni kweli mmedondoka? baada ya msanii huyo kudobndoka na Rayvanny wakiwa stejini akiwa Sumbawanga.

"Nilipokuwa Mwanza niliambiwa ananitafuta akanipigia akaniuliza maswali nasikia eti mmedondoka nikamwambia situation ilivyokuwa na tulikuwa hatujaonana muda mrefu na Mzee Kikwete nikamwambia nikirudi Dar ntakuja nikuone baba," amesema Diamond Nairobi.

"Nilivyorudi nikaenda kuonana naye na nilivyoonana nae kuna vitu akanisihi akaniambia kwanza nioe umri umefika, kuna clip moja tulikuwa tuko na Tanasha tunahesabu hela akaniambia sio vizuri kuna watu hawana hata riziki kwahiyo mtu akiiona anajisikia vibaya."

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad