Dogo Janja Aikana Familia ya Uwoya "Sina Habari Nayo Hata Kidogo"

Dogo Janja Aikana Familia ya Uwoya "Sina Habari Nayo Hata Kidogo"
Msanii Dogo Janja ameonekana kuikana familia ya msanii Irene Uwoya ambae aliwahi kuwa mke wake na kuachana hivi karibuni huku akisema kuwa hajui kitu kuhusu familia hiyo na wala hana habari nayo hata kidogo.

Alipokuwa akifanya mahojiano na moja ya waandishi anasema kuwa kwa upande wa familia yake wanandekea vizrui akimaanisha familia yake iliyopo Arusha ambako amekuwepo huko kwa mud mrefu sana lakini kuhusu familia ya msanii Irene huyo hajui chochote hivyo anaombwa hasiulizwe kitu.


Ikumbukwe kuwa Dogo Janja na Irene wamekuwa katika ndoa kwa muda mfupi sana , ndoa iliyofungwa mwanzoni mwa mwak 2018 na kuachana mwaka 2018 , huku sababu kubwa ni kushindwana kwa tabia kati ya wawili hao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad