Fid Q Amvesha Pete ya Uchumba Mpenzi Wake


Rapper Fid Q amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi maarufu kwa jina la 'Mama Cheusi' hapo jana, ikiwa ni mwanzo wa safari kuelekea maisha yao ya ndoa.

Inasemekana Harusi yao itafungwa hivi karibuni.



Hongereni ziwaendee kwa hatua hii.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad