Gigy Money toa Siri ya Kupigwa na Mpenzi wake Mpya

Gigy Money toa Siri ya Kupigwa na Mpenzi wake Mpya
Mwanadada Gigy Money ameshindwa kuvumilia kwa kile kilichodaiwa kuwa ni unyanyasaji katika mahusiano baada ya kuweka picha yenye kumuonyesha akiwa na makou shingoni mwake makovu mabayo yanasemekana kuwa ni baada ya kupigwa na mpenzi wake.

gigy mone baada ya kuachana na mo jay aamekuwa na wanaume tofauti tofauti na hata kulingishiana na baba wa mtoto wake huyo katika mitandao ya kijamii kwa penzi hilo jipya lakini mapenzi hayo yanaonekana kumshida hasa baada ya kuonyesha makovu ya kupigwa.


katika picha hiyo gigy aliandika “shingo yangu imeharibikia..wanawake bongo tunaonewa sana…”



Ikumbukwe kuwa gigy moneya amekuwa na mahusiano na wanaume tofauti tofauti na amekuwa akifanya show-off za wanaume hao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad