Harmonize na Rayvanny waja na kolabo ya kufungia mwaka 2018, wajihami mapema BASATA

Harmonize na Rayvanny waja na kolabo ya kufungia mwaka 2018, wajihami mapema BASATA
Wasanii wawili kutoka WCB, Harmonize na Rayvanny wametangaza kuachia kolabo yao ya kwanza iitwayo Paranawe leo 1:00 Jioni kwa sasa za Afrika Mashariki.

Harmonize kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kuwa PARANAWE ndio itakuwa kolabo yake ya kufungia mwaka 2018.

Kwa upande mwingine, Harmonize amewaomba BASATA na watalaam wa lugha kumsaidia maana halisi ya neno  PARANAWE ambalo amelitumia kama jina la wimbo huo.

Kwa mujibu wa Kamusi ya MACMILLAN neno Paranawe ni  neo la Kireno na lina maana ya ‘Mtu pekee shujaa/hodari au mwenye nguvu’ .

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad