Hatimaye Baada ya Misukosuko Mingi Wema Sepetu Afungua Duka lake la Kwanza


Mwanadada Wema Sepetu hatimaye amekamilisha ndoto yake ya siku nyingi aliyotaka kuitiiza baada ya kufanikiwa kufungua duka lake la nguo kwa ajili ya watoto lililopo jijin dar es  salaa.

kwa ara ya kwanza akitoa tamko hilo, mwanadada Wema Sepetu aliweka post katika ukurasa wake wa insta na kusema kuwa  duka hilo litaanza kufanya kazi wiki hii siku ya Jumatano na lengo kuwa ni kufanikisha fuyraha ya wazazi kwa watoto wao.

duka hilo limefunguliwa wakati ambao wanadada huyo trayari ameshapitia miskosuko mingi ikiweo pamoja na ile kudaiwa kuwa moja ya sababu ya lukwama  nibaada ya kutapeliwa kimapenzi na CK na kumuibia pesa zote.

hongera nyingi kwake wema sepetu na mashabiki wanakaribishwa kumfanikisha katika hilo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad