Hii hapa Siri ya Ushindi kwa Queen Elizabeth Miss World 2018


Mwakilishi wa Tanzania katika kinyang’anyiro cha kumtafuta mrembo wa dunia (Miss World), Queen Elizabeth Makune amefanikiwa kuingia katika orodha ya warembo mia moja watakao wania taji la mrembo wa dunia, fainali ikitarajiwa kufanyika Sanya nchini china Decemba 8 mwaka huu.

Ili kupata mshindi wa taji hilo kila mrembo atapigiwa kura kumuwezesha kuibuka mshindi,kamati ya Miss world imetoa tovuti maalumu na vyazo mbalimbali vya kupiga kura mtandaoni link kwa kila nchi kwaajili ya kumpigia kura mshiriki ane wakilisha nchi husika.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad