Web

Muonekano wa Kitakavyokuwa Kituo cha Mabasi Mbezi Luis


Maradi huo unatarajiwa kugharimu kiasi cha Shilingi za Kitanzania Bilioni 50.9 mpaka kukamilika kwake

Hata hivyo Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo ametaka apewe taarifa kuhusu mpango wa ujenzi ndani ya siku 7

Endapo Halmashauri ya Ubungo itashindwa kufanya hivyo fedha hizo zitapelelwa Halmashauri nyingine
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad