Mwanamuziki Shetta Afunguka Kuachana na Mkewe Mama Qyla


Mwanamuziki shetta anaetamba kwa sasa na wmbo wake wa bye -bye pamoja na mama wa watoto wake mama qyla wamemwagana mchana kweupe huku kila mmoja akifanya utaratibu wake kwa sasa .Taarifa hizo zimethibitishwa na Shetta mwenyewe na kufungua A-Z    na kusema kuwa kwa sasa kila mmoja ameamua kuendelea na maisha yake .

Shetta anasema kuwa maisha ya sasa watu jawapaswi kuchanganywa na kitu kimoja hivyo kama unaona kuwa kitu kinakuchanganya ni bora kuachana nacho na kufanya kitu kingine cha maana ambacho unaona kuwa kinaweza kuwa cha maana zaidi, hivyo walipokaa na kuona kuwa hawawezi kuwa pamoja waliamua kila mtu kuchukua ustaarabu wake.

Kwa sasa hivi  niko peke yangu,  mama Qyla nilishaachana nae siku nying kwa sasa niko  peke yangu tu,  nashukuru kuwa mwanangu nimekuwa nikimuona kla wakati na hilo ndilo jambo la kumshukuru Mungu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad