Nay wa Mitego achafua hali ya hewa na wimbo Michano ‘BongoFleva sio Bongo Movie wadangaji’

Nay wa Mitego achafua hali ya hewa na wimbo Michano ‘BongoFleva sio Bongo Movie wadangaji’
Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego wiki hii amerudi upya na wimbo zake ambazo huwaga zinazua taharuki mitandaoni kutokana na kuwachana watu. Safari ameachia wimbo Michano ambao ndani yake wamewachana watu mbalimbali pamoja wasanii wa filamu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad