Penzi la Gigy Money na Mom Penzi Lao Limerudi Upyaa Mahaba Kama Yote

Penzi la Gigy Money na Mom Penzi Lao Limerudi Upyaa Mahaba Kama Yote
Mwanadada Gigy money na baba wa mtoto wake Mo -Jay wameonekana kuwa watu wenye furaha tena licha ya wawili hao kukumbwa na skendo nyingi ikiwepo ile ya kugombana mpaka Gigy Money kupigwa na baba wa mtoto huyo.

Wakionekana wenye furaha hasa msimu huu wa sikukuu , wawili hao wameonekana kufurahia penzi lao hilo ambalo linaonekana kuwa kama jipya huku wakiungwanishwa na mtoto wao


Ikumbukwe kwamba, gigy moneya aliwahi kuoekana akiwa na mwanaume mwingine na pia Mo-Jay vivyo hivyo huku gigy money akisema kuwa hajaumia kabisa kumuona mo-jaya akiwa na mwanamke mwingine huku akitoa baraka nyingi kama kuna ndoa itafuata.

Hata hivyo wawili hao wanasemwa sana katika mitandao kuwa wamekuwa wakipendana na kwamba ni vigumu kwao kuachana inganwa kumekuwa na hiyo misukosuko ya kila mara.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad