Rais Magufuli Akutana na viongozi wa TUCTA Leo

Rais Magufuli Kukutana na viongozi wa TUCTA Leo
Mhe. Rais Magufuli kukutana na viongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF & NSSF) na SSRA asubuhi hii, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Ni kuhusu Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO. Fuatilia Redio, Televisheni na mitandao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad