Rais Magufuli Aongoza Mapokezi ya Ndege Airbus A220-300


Ndege hiyo ambayo ni ya kwanza ya aina yake kununuliwa na Taifa la Afrika imewasili leo katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar

Pichani ni baadhi ya maneno aliyoyaongea Rais katika hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na viongozi wengi akiwemo Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu

Ndege inaweza kubeba watu 132 ambapo 12 ni daraja la biashara na 120 ni daraja la kawaida




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad