Rostam Aziz Afunguka 'Watanzania Tuepuke Udanganyifu Katika Biashara'


Ristam amesema miaka ya nyuma sheria na kanuni za biashara hazikuwa zinafuatwa

Ameongeza kuwa hakukuwa na uwanja wenye sawa katika kufanya biashara

Kuna wafanyabiashara walikuwa wanakwepa au kulipa kodi kidogo, hivyo wengine walikuwa wakinufaika kupitia migongo ya watu wengine

Ni wakati muafaka kwa wawekezaji kuja kwa wingi kwasababu uwanja wa biashara unaboreshwa sasa

Kuhusu taarifa ya Benki ya Dunia kuhusu kushuka kwa uchumi wa Tanzania, Rostam amesema si kweli na hatupaswi kusubiri wageni kutuambia hali ya nchi yetu, tunaijua wenyewe
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad