Rostam Waahidi Kufanya Makubwa Funga Mwaka

Rostam Waahidi Kufanya Makubwa Funga Mwaka
WASANII  wanaounda kundi la Rostam, ambao ni  Roma Mkatoliki,  Stamina na Maua Sama, leo wamewathibitishia wapenzi wa burudani kufanya shoo ya nguvu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar usiku wa kuamkia mwaka mpya 2019.



Nyota hao ambao watapiga shoo ya pamoja, wamesema katika mkutano na wanahabari uliofanyika leo katika Ofisi za Global Group zilizopo Sinza-Mori jijini Dar kwamba kama kawaida yao katika onyesho hilo hawataangusha mashabiki wa burudani na kuahidi sapraiz kibao za wasanii.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad