Web

Shetta Afungua "Siwezi Kuongea na Diamond Labda Biashara tu"

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shetta ambae ni  mkurugenzi wa Kings Empire lakini pia meneja ya The Mafik amefunguka na kusema kuwa kwa hali ilivyo sasa kati yake na Diamond hawawezi kuongea kitu chochote zaidi ya biashara tu .

Akitoa sababu kwanini hawakuweza kuendeleza ushikaji kati yake na diamond ilihali walikuwa marafiki wakubwa na hata familia zao zilikuwa karibu sana na kufanikiwa kufanya kazi pamoja shetta ansema kuwa kamwe hawawezi kuwa marafiki tena labda mahusiano ya kibiashara tu.

Hakuna tatizo kati yetu ila sema tu ndo hivyo kwa sasa kila mtu yuko na mishe zake tu za kimasiha na hata kama tutaongea itakuwa ni mazungumzo ya kibiashara lakini sio ushikaji tena.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad