Uwoya Adaiwa Kuiba Mume wa Mtu

Uwoya Adaiwa Kuiba Mume wa Mtu
Mwanadada Irene Uwoya ambae hapo siku chache  nyuma alidaiwa kumuweka wazi mpenzi wake mpya walipokua katikaka moja ya shughuli  za kifamilia  wikiendi iliyopita . Mwanadada huyo aliaoneknaha za pamoja ambazo hazikuwekwa katika akaunti ya irene mwenyew.

Kutokana na  ukaribu  wa irene na mwanaume huyo katika shughuli iyo na  hata kupiga picha pamoja,  picha zilianza kusambaa zikiwaonyesha wakiwa  karibu na  ndipo ilipoanza kusambaa kuwa huyo ndio mpenzi wake mpya.

Hata hivyo habari za chini ya kapeti zimevuja na kusema kuwa pamoja na kwamba kurasa za umbea zinasema kuwa   huyo ndio mpenzi wake kwa sasa , lakini  mwanaume huyo ni mume wa mtu.

Pamoja na kwamba ireen hajasema kitu kuhusu tetesi za kuwa na mpenzi mpya lakini wadau wa mambo tayari walitafuta maisha ya mwanaume huyo na kugundua kuwa mwanaume huyo ni mume wa mtu na ana familia yake tayari.

Irene amekuwa akifatiliwa kwa kila kitu anachokifanya kutokana na mahusiano yake yaliyopita kati yake na Dogo janja.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad