Wakili Medium Mwale Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Ya Milioni 200


Jaji Issa Maige wa Mahakama Kuu Arusha, amemuhukumu wakili Medium Mwalekwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Sh 200 milioni kutokana na kosa la utakatishaji fedha


Pia amemuhukumu kifungo cha miaka saba ambacho ameshakitumikia kutokana na makosa mengine.


Wakili Mwale na wenzake, Boniface Mwimbwa aliyekuwa meneja wa Benki ya CRDB tawi la Meru na Elias Ndejembi wanatuhumiwa kwa makosa 41 ikiwemo kughushi na utakatishaji fedha.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad