China Yafunga Mitandaoni yote Nchini Humo

China Yafunga Mitandaoni yote Nchini Humo
China ni nchi inayoongoza kwa kufungiwa mitandao mingi sana ya kijamii, website pamoja na applications. Baadhi ya sababu zilizoripotiwa kwamba zimefanya mpaka kufungiwa kwa mitandao hiyo ni ushindani wa kibishara, kodi, Taarifa nyeti, Usalama wa nchi na Taifa.



Zifuatazo ni mitandao ya kijamii iliyofungiwa nchini China.

Mitandao ya Kijamii iliyofungiwa

Facebook
Twitter
Snapchat
Instagram
Youtube
Pinterest
Google+
Blogspot
Flickr
Periscope
Tinder
Reddit


Search Engine zilizofungiwa

Google
DuckDuckGo
Yahoo


Application za meseji zilizofungiwa

Facebook Messenger
Whatsapp
Telegram
LINE
KaKao Talk
Signal


Website za kusikiliza audio na kuangalia video pamoja na application

outube
Netflix
Vimeo
Dailymotion
Twitch
Periscope
Instagram
Snapchat


Email zilizofungiwa

Gmail


Cloud Storage na Productivity

Dropbox
Google Drive
Google Docs
Scribd
Slack


Website za Habari na matukio

New York Times
The Economist
Bloomberg
Wall Street Journal
Reuters
Wikipedia (English)
The Guardian
Le Monde
CNN
BBC
ABC

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad