Faiza Ally Afunguka "Naomba Uchumba wa Sugu na Mkewe Usidumu, Wakifunga Ndoa Ivunjike"

q

Baada ya Sugu kumvesha pete mchumba wake, mzazi mwenzake Faiza Ally amesema kwamba anatamani pete hiyo angeveshwa yeye, na kwamba anaomba wawili hao kila baya liwashukie waachane na Sugu arudi kwake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad