Haji Manara Azindua Perfume kwaajili ya Albino

Haji Manara Azindua Perfume kwaajili ya Albino
Afisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, amesema anakusudia kutengeneza na kuzindua Perfume maalum kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Maalbino) itakayoitwa ‘De Le Boss”

Manara ambaye naye pia ni Mlemavu wa ngozi amesema pia siku atakayozinduza losheni hizo atazindua pia Haji Manara Foundation itakayokuwa inashughulika na kusaidia walemavu wa aina hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad