Kajala Paula Atajiua Huyo Mtoe Mitandaoni- Irene Poul

Kajala Paula Atajiua Huyo Mtoe Mitandaoni- Irene Poul
Muigizaji mahiri Bongo, Irene Paul amemshauri muigizaji mwenziye, Kajala Masanja, amtoe mtoto wake Paula mitandaoni na kumzuia kabisa kujihusisha na masuala ya mitandao iwe Instagram au Whatsapp kwa muda mpaka pale akili ya mtoto huyo itakapokuwa sawa.

Irene ametoa ushauri huo kwa Kajala kufuatia yanayoendelea mitandaoni hivi sasa ambapo watu mbalimbali wamekuwa wakimshambulia mtoto huyo kutokana na kutofanya vizuri kwenye mtihani wake wa kidato cha nne.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad