Kiungo wa zamani wa klabu ya Manchester City, Yaya Toure Agoma Kustaafu Soka


Kiungo wa zamani wa klabu ya Manchester City, Yaya Toure, (35) amesema kuwa bado ana muda wa kuendelea kucheza soka angalau kwa miaka miwili au zaidi ndipo afikirie kustaafu kucheza soka, kwa sasa Toure hana timu baada ya klabu ya Olympiocos kusitisha mkataba wake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad