Mama Hamisa, Hamisa na Mange Kimambi watibuana

Mama Hamisa, Hamisa na Mange Kimambi watibuana
Mwanadada anaesifika kwa kuvuruga na kuyapanga katika mitanda ya kijamii Mange kimambi ameyakoroga tena katika moja ya familia pendwa katika  mitandao ya kijamii baada ya watu hao kumuendea kinyume mwanadada huo.

Mange ambae alikuwa siku zote upande wa hamisa alikuja kukwazika sana alipomshauri hamisa kuweka ambo yake kuwa private lakini mama wa mwanadada huyo alijibu na kusema kuwa mtoto wake aachwe afanye vile anavyotaka kufanya kitu ambacho kilimkwaza Mange na kuamua kumparamia na maneno mama huyo.

Hata hivyo amneno ya mange kwa mama huyo yanaoekana kutokuwa sawa kama Team Hamisa wanavyosema hivyo, tema misa kuanza kumshambulia Mange kimambi na kuanza kum-unfollow.

Hata hivyo baada ya hayo yote pia hamisa na mama yake waliamua kum-unfollow Mange Kimambi na kupelekea mange kuomba msamaha kwa team misa na kwa hamisa na mama yake pia.

Hata hivyo pamoja na kuomba msamaha , Mange kimambi  anasisitiza kuwa mama Hamisa bado alifanya kosa kumwambia mtoto wake kuwa huru na  kupost kila kitu katika mitandao ya kijamii.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad