Maua Sama Aanza Mwaka Vizuri Baada ya Kupata Gari Sasa Anunua Kiwanja

Maua Sama Aanza Mwaka Vizuri Baada ya Kupata Gari Sasa Anunua Kiwanja
BAADA ya kufunga mwaka vizuri na Ngoma ya Iokote na kufanikiwa kuvuta ndinga aina ya Toyota RAV4, staa wa Bongo Fleva, Maua Sama amesema gari hilo lilitokana na sapoti ya mashabiki na kwamba kwa nguvu yao hiyohiyo amefanikiwa pia kununua kiwanja.



 Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Maua alisema kuwa kwa sasa ameanza ujenzi wa ‘bangaloo hatari’ maeneo ya Mbweni jijini Dar.



“Mashabiki wangu ndiyo wamenipa mafanikio na kunifanya niweze kununua kitu ambacho nakitaka, hata hili gari limetoka kwao hakuna mtu mwingine zaidi ya mashabiki wangu na nipo mbioni kumalizia mjengo wangu kwa nguvu zao,” alisema Maua.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad