Naibu Waziri aagiza 'Injinia' kukamatwa na Polisi

Naibu Waziri aagiza 'Injinia' kukamatwa na Polisi
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso  ameliagiza jeshi la polisi wilayani Muleba
kumkamata na kuhoji Mhandisi wa maji halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera Bonephas Lukoho.

Hatua hiyo imefikiwa mara baada ya Mhandishi huyo  kupokea mradi wa Maji wa Katoke bila ya kukamilika na ukidaiwa kujengwa chini ya kiwango.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad