Tanasha Awatolea Povu Wanamkosoa Kisa Gauni Lake

Tanasha Awatolea Povu Wanamkosoa Kisa Gauni Lake

Mpenzi wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh ameibuka na kuwajia juu watu ambao wamekuwa wakimkosoa kisa gauni lake alilovaa siku chache zilizopita.

Wikiendi iliyopita Diamond na Mpenzi Wake Tanasha walihudhuria Hafla ya Haji Manara ambapo alikuwa anazindua foundation yake na kwenye hafla hiyo Tanasha alivaa gauni la Blue ambalo lilimuonyesha sehemu yake ya kifua.


Katika picha ambazo Tanasha alipigwa anaonekana akiwa amevaa nguo iliyomuacha kifua wazi na kupelekea kukosolewa sana jambo ambalo Tanasha ameshindwa kulikalia kimya.

Kupitia Instastory yake Tanasha amewajia juu wanakosoa gauni lake na kusema kuwa lilishonwa dakika za mwisho na pia wanaonekana maziwa yake yamelala Ndiyo hayo hayo ambayo Diamond ameyapenda na yanamdatisha.







Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad