Viwanja vya Makazi Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)


Viwanja vya Makazi, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Kwa Mapinga (Baobab sec), vipo Viwanja kuanzia ukubwa wa 20/20 (sqm 400) bei milion 5, ukubwa 20/30 (sqm 600) bei milion 8, ukubwa wa 20/40 (sqm 800) bei milion 10, ukubwa wa 30/40 (sqm 1200) bei milion 16, sqm 1959 bei milion 25, sqm sqm 2386 bei milion 31.

Viwanja hivi viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja vyote vina miundombinu ya barabara (lami), umeme na maji.

Ruksa kulipa kwa awamu 2 (awamu ya kwanza ni 75%) na bei itapungua kwa mteja anayelipa kwa awamu moja tu (mkupuo).

Kwa Bunju B, kipo Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 1800 na tayari kina msingi imara wa ghorofa, kina view nzur ya kuona Bahari. Kipo mita 500 tu kutoka Main Road (Bagamoyo Road). Bei ya property hii ni tsh 85 milion, Negotiable.

Hakuna dalali/udalali, contact mhusika, call 0758603077, whatsap 0757489709

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad