Atiwa Mbaroni Kwa Kuwalisha Wananchi Nyama ya Mbwa Huku Akiwadanganya ni ya Mbuzi


Mkazi wa kijiji cha Mitonji,kata ya Mbuyuni wilayani Masasi Mkoani Mtwara,Dismasi Malikitu maarufu kizito,anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi.

Mtendaji wa Kijiji cha Mitonji,Yunisi Makolo amethibitisha kuhusu tukio hilo.

==>>Sikiliza hapo chini

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad