Baada ya Kilichowakuta Taifa Jana Lulu Atangaza Rasmi Kuwa Yeye ni Simba

Baada ya Kilichowakuta Taifa Jana Lulu Atangaza  Rasmi Kuwa Yeye ni Simba
Mwanadada Lulu michael ametangaza rasmi katika vyombo vya habari kuwa yeye ni shabiki m,kubwa wa simba , ushabiki ambao aliupata kutoka kwa mama yake kwa sababu mama yake ni shabiki wa simba.

Lulu anasema alianza kuipenda simba kutokana na watu waliokuwa wakimzunguka hasa mama yake mzazi,.


Hata hivyo , Lulu aliyaongea hayo alipokuwa katika ziara yake katika kampuni ya habari ya mwananchi kabla ya mechi  ya simba na al ahly na kusema kuwa anawatakia kheri simba kufanya vizuri katika mechi hiyo huku akiwataka kutulia na kutokukata tamaa ya kufungwa magoli ,engi nyuma kuwafanye waumie na kushindwa kufanya vizuri.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad