Barnaba Akanusha Tuhuma Zinazomkabili Ruge

Barnaba Akanusha Tuhuma Zinazomkabili Ruge
Msanii Barnaba amefunguka na kukanusha taarifa na tuhuma zinazosambaa katika mitandao ya kijamii hasa zinazotaka kuchafua jina la marehemu Ruge mutahaba  kuhusu swala la kutaka kuwasaiai na kuwainua wasanii huku baadhi ya watu wakisema kuwa alikuwa akiwanyonya.

Barnaba ambae ni moja ya zao kutoka THT na pia ni msanii alielelewa na Ruge kama mtoto amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na swala kama hilo walipokuwa katika chuo icho cha muziki kwa sababu kila mtu alikuwa na uhuru wa kufanya kazi yake ilimradi kuwa na nidhamu.


Wasanii wengi sana wametoka katika jumba hilo na wamekuwa na mafaniki katika muziki na kila mara wamekuwa wakikumbuka fadhila za mhasisi huyo na ndio maana baranaba anapata nguvu ya kusimama na kutetea hilo.

Msanii dudubaya ambae alianza kwa kumskashifu Ruge tangu akiwa mgonjwa alindelea hata mauti yalipomkuta kwa kumpa shutuma kali zidi yake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad