CCM Yatuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo Cha Ruge

CCM Yatuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo Cha Ruge
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa huzuni kubwa taarifa za kifo cha Ruge Mutahaba, ambaye amekuwa Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Habari cha Clouds Media, kada wa CCM na Kiongozi Kijana aliyejijengea na ukubalifu kwa Chama, Serikali na Umma. Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe, Amina.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad