Faiza Ally "Nilipoachana na Mbunge Sugu Niliogopa Kudhalilika"


Mwanadada Faiza Ally anafunmguka na kuongelea ugumu alioupata hasa baada ya kuchana na mwanaume aliwahi kuwa nae katika mahusiano na kuweza kupata nae mtoto wake kwa kwanza wa kike.

Faiza anasema kuwa mara alipoanza kugombana na sugu ambae ni mbunge wa mbeya mjini anasema kuwa ilimfanya kuwa katika wakati mgumu kwa sababu aliona kuwa akiachana nae basi atarudi katika maisha magumu tena watu watamcheka sana.

Faiza ambae anakiri kuumizwa na kuachana kwao kulimuumiza sana hasa ukiangalia kuwa alikuwa ayari ameshazoea maisha fulani ya pesa , ilikuwa inampa wakati mgumu sana kuamua kufanya maamuzi hayo.

Faiza anasema kuwa alikuwa anapata wakati mgumu kurudi yale maisha ya uswahili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad