Tetema Ya Diamond na Rayvanny Yavunja Rekodi


Wimbo mpya unaofanya vizuri Hivi sasa ‘Tetema’ ulioimbwa na wasanii Diamond Platnumz na Rayvanny umevunja rekodi Mpya Baada ya kufikisha watazamaji milioni moja ndani ya mastaa 17.

Wanamuziki Diamond Platnumz na  Alikiba ni baadhi ya waliofanikiwa nyimbo zao kutazamwa mara milioni moja kwa muda wa masaa 24.  Mpaka wakati huu wimbo huo umetazamwa mara milioni 1.2.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameshukuru mashabiki zake kwa kuangalia wimbo huo mara milioni moja:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad