Maskini..Familia ya Ruge Yajitokeza na Kusema "Gharama za Matibabu ya Ruge ni Kubwa Mno" Waomba Msaada


Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi Clouds Media RUGE MUTAHABA, amefunguka na kusema kuwa matibabu ya mgonjwa huyo ambae yuko Afrika ya kusini imekuwa kubwa sana wa siku inaweza kufika kaisi cha shilingi milion 5 hadi 6 kiasi kwamba inakuwa ngumu kama familia kuweza kumudu swala hili peke yao

Kaka wa Ruge anasema kuwa wanashukuru kwa sababu watu mbalimbali wamekuwa wakijitahidi kwa ajili ya kumsaidia hasa kipindi wanaanza matibabu , lakini kuna nguvu ya ziada katika pesa inahitajika kwa ajili ya kupata pesa ya matibabu kwa ajili ya mgonjwa.

Gharama za matibabu kwa kule ni kubwa inaweza kufika mpaa milion 5 , au 6 kwa siku, pamoja na wamba hata Mh rais Magufuli aliwahi kutoa pesa kwa ajili ya matibabu lakini  gharama zimekuwa kubwa sana
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad